selemwaa.blogspot.com
selemwaa: Kipigo cha goli 5 chamtimua Andre Villas-Boas Tottenham
http://selemwaa.blogspot.com/2013/12/kipigo-cha-goli-5-chamtimua-andre.html
Monday, December 16, 2013. Kipigo cha goli 5 chamtimua Andre Villas-Boas Tottenham. Kipigo cha goli 5 chamtimua. Subscribe to: Post Comments (Atom). Surez aamua kubaki Liverpool. Surez aamua kubaki Liverpool HATIMAYE nyota wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez ametamka bayana kuwa ameamua kubaki Liverpool kutokana n. Brazil yazindua jezi mpya zitakazotumika katika fainali za Kombe la Dunia. Inamilikiwa, kusanifiwa na Suleiman jumbe 0713 555 476. Awesome Inc. template. Powered by Blogger.
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: Katuni yetu ya siku ya leo
http://selemwaa.blogspot.com/2013/10/katuni-yetu-ya-siku-ya-leo.html
Thursday, October 31, 2013. Katuni yetu ya siku ya leo. Katuni yetu ya siku ya leo. Subscribe to: Post Comments (Atom). DKT KALEMANI AMTAKA MKANDARASI UMEME KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA. Kalou atoa siri za Drogba MSHAMBULIAJI wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou, anayechezea Lille OSC ya hapa, amefichua kuwa Didier Drogb. Serikali yakiri dosari Katiba TFF Rais wa TFF, Leodegar Tenga WIZARA ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo imekiri kwamba mchakato. Ujerumani, Ubelgiji, Uswisi zatwaa tiketi. Chelsea y...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: 07/27/13
http://selemwaa.blogspot.com/2013_07_27_archive.html
Saturday, July 27, 2013. Gareth Bale, amewaomba maofisa wa klabu yake ya Tottenham kumruhusu ajiunge na klabu ya Real Madrid ya Hispania. Tamko la Bale limekuja saa chache baada ya miamba hiyo ya soka ya Hispania kupandisha dau la ofa yake na kufikia ada rekodi ya dunia ya pauni milioni 81, ambalo pia limeonekana kupuuzwa na Spurs. Bale, 24, anaamini kuwa kunahitajika kukosa uelewa kwa Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy na klabu yake kukataa dau kubwa kama. Bale alikutana na Levy na kuweka wazi kutoona mwa...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: 07/26/13
http://selemwaa.blogspot.com/2013_07_26_archive.html
Friday, July 26, 2013. Ahly, Zamalek zatoka sare 1-1. Mohamed Aboutrika wa Ahly, Jumatano usiku aliifungia bao timu yake kwa mkwaju wa penalti na kuisaidia kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Zamalek katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa mjini hapa. Ingawa baadhi ya mechi za makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho zilichezwa mwishoni mwa wiki, mechi ya timu hizo mbili ilisogezwa hadi Jumatano kutokana na vurugu zilizoukumba mji wa. Matokeo hayo yanaifanya Ahly k...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: 07/29/13
http://selemwaa.blogspot.com/2013_07_29_archive.html
Monday, July 29, 2013. Man Utd kula matapishi ya Pogba. Moja ya Kihispania imetoa taarifa ya mshangao kuwa aliyekuwa kiungo wa Man United Paulo Pogba kwamba anaweza akarejeshwa Old Trafford. Mfaransa huyo alijiunga na Juventus msimu wa mwaka jana majira ya joto. Hata hivyo, Juve wanaripoti wazi kwamba Juve hawana nia ya kusikiliza ofa inayotolewa kwa ajili ya kiungo huyo. Pogba aliondoka United kwa sababu ya kukosa nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. Newcastle yanawa mikono kwa Gomis. Yanga yatoa walaka...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: Man City, Arsenal na Chelsea kibarua kizito, Man Utd mchekea
http://selemwaa.blogspot.com/2013/12/man-city-arsenal-na-chelsea-kibarua.html
Monday, December 16, 2013. Man City, Arsenal na Chelsea kibarua kizito, Man Utd mchekea. Hatua ya 16 ligi ya mabingwa ulaya. Man City, Arsenal na Chelsea. Subscribe to: Post Comments (Atom). DKT KALEMANI AMTAKA MKANDARASI UMEME KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA. Kalou atoa siri za Drogba MSHAMBULIAJI wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou, anayechezea Lille OSC ya hapa, amefichua kuwa Didier Drogb. Ujerumani, Ubelgiji, Uswisi zatwaa tiketi. Simba, Yanga jinsi zilivyotoa dozi. Chelsea yaitungua Norwich City, ...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: Klopp aipiga vijembe Arsenal
http://selemwaa.blogspot.com/2013/11/klopp-aipiga-vijembe-arsenal.html
Wednesday, November 6, 2013. Klopp aipiga vijembe Arsenal. Jurgen Klopp aipiga vijembe Arsenal. Makocha Wenger (kushoto), na Klopp. Wa Borussia Dortmund ya Ujerumani, Jurgen Klopp ameiponda Arsenal kwa kuifananisha na muziki mkubwa usio na sauti kuelekea mechi ya leo usiku ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Klopp alisema kuwa pamoja na timu hiyo kucheza soka ya kuvutia kwa namna ya kupiga chenga, kumiliki na kupiga pasi nyingi, lakini ni kama kuziki usio na sauti. Subscribe to: Post Comments (Atom). Neymar atabi...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: 07/20/13
http://selemwaa.blogspot.com/2013_07_20_archive.html
Saturday, July 20, 2013. Liver nayo yawafumua waindonesia 2-0 angalia magoli. Tazama magoli katika mechi ya kirafiki kati ya Man United na All Stars ya Sweeden, ambayo United ilishinda kwa mabao 5-1. Mshambuliaji wa Simba, Marcel Boniventure akitafuta mbinu za. Kumtoka beki wa URA ya Uganda, Walulya Derrick. Simba yanyofolewa sharubu U/Taifa. TIMU ya Simba jana ilichapwa mabao 2-1 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya URA ya Uganda iliyochezwa Uwanja wa Taida, jijini Dar es Salaam. Wa Klabu ya S...
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: Brazil yazindua jezi mpya zitakazotumika katika fainali za Kombe la Dunia
http://selemwaa.blogspot.com/2013/11/brazil-yazindua-jezi-mpya.html
Monday, November 25, 2013. Brazil yazindua jezi mpya zitakazotumika katika fainali za Kombe la Dunia. Brazil yazindua jezi mpya zitakazotumika katika fainali za Kombe la Dunia. Baadhi ya wachezaji wa Brazil wakiitambulisha jezi mpya. Subscribe to: Post Comments (Atom). DKT KALEMANI AMTAKA MKANDARASI UMEME KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA. Kalou atoa siri za Drogba MSHAMBULIAJI wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou, anayechezea Lille OSC ya hapa, amefichua kuwa Didier Drogb. Simba, Yanga jinsi zilivyotoa dozi.
selemwaa.blogspot.com
selemwaa: 07/30/13
http://selemwaa.blogspot.com/2013_07_30_archive.html
Tuesday, July 30, 2013. Ya Al Markhiya Sports Club ya Doha, Qatar imetuma barua kwa uongozi wa Simba ukiomba umruhusu kiungo wake Mwinyi Kazimoto kujiunga na timu hiyo baada ya nyota kufanya vizuri katika majaribia yake hivi karibuni. Japo nyota huyo aliondoka bila idhini ya viongozi wa Simba wala wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kutokana na kuondoka nchini akitokea kambi ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Al Markhiya imeiangukia Simba kuomba ridhaa yake. Nyota wake wa kimataifa, Mganda Hamis ...